Mwimbaji wa nyimbo za injili Naomi Joel atazindua albamu yake ya JINA LA YESU katika kanisa la Akuzamu
International lililopo posta jijini Dar es salaam jumamosi tarehe 27April 2013 . Tamasha hilo la uzinduzi litasindikizwa na waimbaji wengi wa nyimbo za injili na litafanyika saa 8 mchana, kwa wakazi wa Dar es salaam na maeneo ya jirani hii siyo ya kukosa.
Comments