MUIGIZAJI MAARUFU WA NIGERIA AOKOKA....BAADA YA KUOMBEWA KANISANI KWA TB JOSHUA.

 Nchi ya Nigeria imeweka historia nyingine kwa msanii mkubwa kumpokea kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yake baada ya Jim Lyke kukutana na nguvu ya Mungu kwenye kanisa la TB Joshua.Hali iliyo mkuta Jim Lyke baada ya
kukutana na nguvu ya Mungu ilimfanya kudondoka chini na mapepo kumtoka,haikua rahisi kwa star huyo kutoa mapepo aliyokuanayo kwani ilichukua muda hadi pale alipo wekwa huru.Tizama tweets aliyoandika TB Joshua baada ya kuwekwa huru Jim Lyke.
Baada ya kukutana na nguvu ya Mungu hiki ndicho alicho tweets Jim Lyke.

Comments