Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Es Salaam Pentecostal Church( DPC), Matukio Katika Picha



Pastor Safari Paul akiongoza Kwaya ya Rivers of Life katika Mkesha huo

John Lisu

Dr. Onna

Bale

Rivers of Life ya DPC
Abel Majaliwa Mchungaji Kiongozi wa Dar Es Salaam Pentecostal Church akihubiri katika usiku huo wa mwaka mpya

Abel Majaliwa Mchungaji Kiongozi











Watu wakiombewa kuanza mwaka 2014 na Bwana kwa ushirika mzuri katika mkesha huo

Vijana walipata kuokoka katika Mkesha huo wa mwaka mpya
By Jesus Vision

Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12