Mitume wawili kutoka nchi mbili tofauti wafanana sura hadi huduma.

Mtume. Peter Rashid Abubakar na Apostle Francis Musili wa Nairobi Kenya

Mtume Peter Rashid Abubakar  ambaye pia mwanzilishi wa huduma ya Glory to God Miracle Center(House of Prayer For All Nations) Tanzania jijini Dar es Salaam  amtembelea Apostle Francis Musili wa Nairobi huduma ya ATG 

Na leo Jumatano tarehe 26.02.2014 Mtume. Peter Rashid Abubakar ameanza rasmi semina ya ndani na kurushwa hewani Live kwa Radio ya ATG ya Apostle Musili. Watu wamefunguliwa na nguvu ya MUNGU kushuka na kuwaweka huru watu wengi

Apostle Francis Musili wa Nairobi Kenya
Lakini kitu kingine ambacho kimewashangaza waumini waliohudhuria semina hiyo jijini Nairobi ni  Apostle. F. Musili na Apostle. Peter Rashid Abubakar kufanana sana sura zao  kiasi cha kuwafanya waumini kila mara kufurahi na kushangilia pia huduma zao zinafana pia yaani  huduma ya ukombozi Kenya na Tanzania.

Hakika huyu ndiye MUNGU.
Mtume. Peter Rashid Abubakar na Apostle Francis Musili

Comments