VCCT WACHANGIA SAFARI YA MISSION YA WANAFUNZI WA UDSM

Kanisa la VCCT wiki iliyopita ilichangia kiasi cha zaidi laki 8, kusaidia safari ya kimisheni wa wanafunzi wa UDSM  Christian Fellowship,

Akikabidhi sadaka iyo, Mr. Sasali Samuel ambaye ni Director wa Campus Ministry, kwa niaba ya Mch. Dr. Huruma Nkone, alisema " Mioyo yetu ipo kwa ajili ya wanafunzi, na Tutakuwa tayari kuwasidia muda wowote, msiache kuja"

Kabla ya kukabidhi Sadaka iyo, wanafunzi hao walipata Fursa ya kuimba katika Ibada wakati washirika wa VCCT walipoikuwa wakitoa sdaka iyo


UDSM choir singing


CM Leadership With UDSM Fellowship leadership



Mr. (Dr.) Samuel Sasali akikabidhi sadaka iyo



Bali wote waliompokea(YESU KRISTO) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake; -Yohana 1:12

Comments