MAANA YA MAJINA HAYA AMBAYO YANAPATIKANA KWEYE BIBLIA.( sehemu ya 1)



Amosi = Aliyesumbuliwa. Mbeba mzigo. Mwenye nguvu.


Andrea = Mwanamume.


Augusto = Anayestahili sifa


Ayubu = Mwenyekutubu


Barnaba = Kijana wa faraja


Benyamini = Mwana wa furaha (yaani mwana wa mkono wa kulia)


Danieli = MUNGU ni hakimu wangu


Daudi = Anayependwa


Debora = Nyuki.


Delila = Anayependa kujipendekeza.


Elizabeth. = MUNGU wa kiapo. MUNGU ni kiapo


Elisha = MUNGU ni wokovu 



Eliya = YEHOVA ni MUNGU


Erasto = Anayependwa


Esta = Nyota.


Ezekieli = MUNGU ni mwenye nguvu. MUNGU anatia nguvu



Kwa leo nimeishia hapo.
MUNGU akubariki sana 

ni mimi ndugu yako Peter Michael Mabula
Maisha ya ushindi Ministry

Comments

G MWALU said…
Nimeipenda mada hii ya majina ya kwenye Biblia na maana yake ila ingekuwa vizuri sana kama majina hayo ungeweka na kifungu cha Biblia kinachoonyesha maana yake ingekuwa vizuri zaidi