MAANA YA MAJINA HAYA AMBAYO YANAPATIKANA KWENYE BIBLIA.( sehemu ya mwisho)



Karibu sana katika sehemu ya mwisho ya majina na maana zake. twende.

Yafethi = Yeye anapanua

Yairo = Yeye anaangaza

Yakobo = Anayeshika kisigino. Msaliti

Yeftha = Yeye (MUNGU) anafungua

Yeremia = MUNGU ni mkuu. MUNGU anainua.

Yeriko = Mji wa manukato. Mji wa mwezi mpya

Yeroboamu = Mataifa watakuwa wengi. Taifa litapigana.

Yerusalemu = Msingi wa amani. Nyumba ya amani.

Yesu = Yoshua = MUNGU anaokoa. MUNGU ni wokovu

Yezebeli = Ambaye hajaolewa. Kuinua 

Yezreeli = MUNGUu anapanda

Yoabu = YEHOVA ni baba

Yoashi = BWANA anatoa. BWANA anakuja (kusaidia)

Yoeli = BWANA ni MUNGU

Yohana = YEHOVA ni wa huruma

Yona = Njiwa

Yonathani = YEHOVA ametoa

Yordani = Unawaanguka. Unawatelemka

Yoshua = YESU = YESU anaokoa. YESU ni wokovu

Yuda = Yeye (BWANA) ashukuriwe. Anayeshukuriwa

Yusufu = (BWANA) anaongeza. Anafukuza



Zabuloni = Makao. Pakuishi. Nyumbani

Zakaria = YEHOVA amekumbuka

Zebedayo = Zawadi ya MUNGU. MUNGU ni zawadi

Zekaria = YEHOVA amekumbuka

Zena = Zawadi ya Zeus (miungu)

MUNGU akubariki sana na kama huyaona majina mengine likiwemo jina lako 
 FUNGUA HAPA

Pia mengine yako FUNGUA NA HAPA  


na mengine yako HAPA
MUNGU akubariki sana  ni mimi ndugu yako 

Peter Michael Mabula  

Maisha ya ushindi Ministry  0714252292

Comments