![]() |
Mtume Peter Rashid kutoka Dar es salaam akifundisha katika ibada ya mkesha jijini Nairobi |
Mtume Peter Rashid Abubakar Akiwa anafundisha Uchawi wa Ashera( Mika 5:14) alisema watu wengi sana wamerogwa kwa uchawi huo!!
Alisema uchawi huo, mchawi huchimba shimo dogo ndani yake anaiweka ile mbegu ya Ashera pamoja na Nywele; Kucha; Mate; Mavumbi ya miguu anayehusika; Haja zote kubwa na ndogo. Kabla hajafukia anatamka maneno mfano maisha ya mtu huyu kila siku usiku ifikapo saa saba usiku au saa nane awe mgonjwa saaana lakini ifikapo asubuhi ni mzima kabisaaa!
Mwingine anaanzisha Biashara yake mara inakuwa nzuri baada ya muda kidogo inaharibika kabisaa na madeni lukuku;
mwengine anakuwa anapata kazi ya muda mfupi tu kazi anafukuzwa bila sababu yeyote n.k
Mtume. Peter Rashid Abubakar huku zikitokezea amina nyingi nyingi aliwaombea, na matendo makuu ya MUNGU kuonekana na wengi kufunguliwa. Kwa jina kuu la YESU KRISTO.
![]() |
Maombezi yakiendelea na watu kufunguliwa |
![]() |
wakati wa semina, mtumishi wa MUNGU Peter Abubakar akifundisha |
![]() |
wakati wa semina:Mtume Peter Rashid Abubakar wakati alipokuwa akizifichua siri za shetani na akihubiri kwa upako wa Kitume na kinabii, watu nao walipokuwa wakimsikiliza mara ,walipokuwa wakibarikiwa waliamua kutoa sadaka ya kujiunganisha na upako huo tena bila kulazimishwa. |
Utukufu kwa BWANA.
Comments