MADHARA 10 YA MOYO ULIOJERUHIWA

 Na Mchungaji Peter Mitimingi

1. Moyo uliojeruhiwa huwafanya watu waishi katika hali ya kuumizwa.

2. Moyo uliojeruhiwa huwa na tabia za kuharibu na bila kujali.


3. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu awe hana hisa za utu.


4. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu kuwa na hasira za ghafla wakati mwingine zisizo na msingi.


5. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu kwa na tabia ya kujitenga.


6. Moyo uliojeruhiwa huwa na hali ya kukata tamaa kwa hali ya juu


7. Moyo uliojeruhiwa huwa tayari kwa kupigana na kwa mapambano.


8. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu kuwa na ubinafsi uliozidi kiwango.


9. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu kuwa na woga usio na mipaka.


10. Moyo uliojeruhiwa humfanya mtu kujiona kuwa huwa hukosei.


Comments