Waimbaji wa Revival Kwaya wakati wa matayarisho
Wanafunzi 45 wamejishindia zawadi mbali mbali kwenye mashindano ya Kitaifa ya kwanya nchini Uingereza.
Chuo kikuu cha Nottingham's Revival
Gospel Choir,wameshika nafasi ya kwanza katika mashindano hayo ambayo ni
yamefanyika kwa mara ya nne jijini London.Mashindano hayo ni kwa ajili
ya kwaya za vyuo vikuu.
Mwanafunzi wa Uingereza Collete
Davie 20,ambaye amejiunga na kwaya hiyo miezi 18 iliyopita
amesema,"Tulikuwa tukisikiliza wenzetu wakiimba wakati sisi tukiwa nyuma
ya jukwaa,tuliogopa lakiniMungu alitupa ujasiri zaidi."
Vyuo vilivyoshiriki ni Coventry, Portsmouth, Reading, the City University in London, Royal
Holloway in London, na washindi wa mwaka uliopita Manchester University.
credit: kwa ushirikiano na Grana Gospel news
Comments