Event kubwa ya aina yake AFLEWO (Africa Lets Worship) inayofanyika kwa mwaka mara moja,usiku wa siku ya ijumaa katika kanisa la City Christian Center Upanga(CCC) karibu na Chuo cha Mzumbe, imekuwa ya aina yake baada ya watu wengi kumiminika kutoka kila kona ya jiji la dar es salaam.
Mkesha huo wa kusifu,kuabudu na Maombi umekua baraka kubwa kwakila aliyefika siku
ya jana kwani kikosi kizima cha kusifu na kuabudu kilichokua kikiongozwa na Dr.Ona Machung'u kilionyesha uwezo mkubwa katika stage
























Logo ikiwakilisha


Kitu nyomiiii


Mc wa Event Samuel Sasali.



Hapana chezea uwepo wa Mungu

Picha zifatazo ni maombi yaliyofanyika kabla ya event kuanza


Sound ya ukweli


Comments