IBADA YA SIFA NA MAOMBEZI KARIAKOO ZANZIBAR

Leo kulifanyika katika kanisa la TAG city center Kariakoo Zanzibar kulifanyika ibada ya kusifu na maombezi. Kanisa hilo linalongozwa na Askofu Dickson Kaganga. Hizi ni baadhi ya picha katika ibada hiyo. 

WASHARIKA WAKIWA KATIKA MAOMBI

SHEKINA WAKIHUDUMU

ASKOFU DICKSON KAGANGA AKIHUBIRI

WAKATI WA SIFA WAUMINI WAKISIFU

WAKATI WA SIFA

Comments