TAMBUA NA TUMIA FURSA ZILIZOMO KATIKA SADAKA YA AINA YA MBEGU

Mwl;Christopher mwakasege

Mwl;Christopher mwakasege,Venue:Diamond jubileee.Time:18/Jan/2015

A: MAANA YA FURSA

1/:Fursa ni nafasi inayojitokeza na kuonekna kuwa inafaa kwa ajili yakufanya jambo

2/:Au ni nafasi inayojitokeza kwasababu ya jambo jingine kuwepo liwe jambo zuri au liwe jambo baya
3:Mazingira mazuri yaliyojitokeza kwajil yakufanya jambo
4/:Mlango uliofunguliwa ili kukupa nafasi yakupita au kupitisha kitu. 

SUMU KUU ZINAZOUA FURSA

1:Kulalamika
2;Kunungunika

Hesab 13:32,33
Hesab 14:7-9
Hesab 13:1-4
Yakobo 4:9

Unaponungunika unaleta kuhukumiwa na baadae kunaleta upofu wa kutokuona
1Thes 4:13

Imani na matumaini vinaenda pamoja
Kitu cha kujua ni kwamba kuna fursa zitkzo jitikeza na unatakiwa kuztumia
Wachache sana wanafamu na wanamshukuru Mungu kwa kupata sadaka/Mbegu yakupeleka kwake
Fursa 1:
Kumshukuru Mungu Kwamba unambegu ya kupanda
2kor 9:10-15

Sadaka hizi hutumika kuhudumia huduma na mahitaji ya watakatifu
Fursa 2
Nafasi ya Kuamua aina ya mavuno na kiwango cha mavuno
Haya maamuzi yanafanyika wakati unapanda ka kuangalia mbegu unayopanda
Galatia 6;7
2kor 9:6

Kiwango cha mavuno kinaamuliwa na kiwango cha mbegu upandacho
Mf; kupanda pesa za kitanzania ukategemea kuvuna dola

Fursa 3
Fursa zinazokuja na msimu wa kupanda
Mwz 8:22

Mungu hukuruhusu kupanda kulingana na majira na misimu ya kiroho na kimwili
Luka 12:54-56

Ukiwa na mbegu unapata ruksa ya kutambua majira uliyopo na ishara
Mat 16:1-4
1Nyak 12:32

Pia unatambua na kufahamu cha kufanya katika majira hayo
Mat 24;36-42
Mungu anataka utambue na mizingira yakuwepo kwahiyo mbegu
Kuna namna yakutambua majira ya kupanda kimwil na kiroho

Fursa 4:
Kuchambua na kuchagua aina ya udongo wa kupanda
Mat 13:18-23
1.Udongo mgumu
unatupa mbegu shetani anakuja ichukua
2.mwamba
3.Miiba
4.Mzuri

Mungu hakulazimishi mahali pa kupanda ndo mana akakupa aina za udongo aumuzi wa wapi pa kupanda ni juu ya mpandaji
Maana ya aina ya udongo ina maana mbegu unayokua nayo mkononi inaunga maisha yako,utoaji wako na huduma yako
2kor 9:10,11
Filip 4:15

Sadaaka aina ya Mbegu upatikanaji wake ni mgumu sana (ndo mana watu wanalalama sana january ni ngumu kwasababu ni mwezi wa kupanda)
Mbegu ikishakua mkononi inadai udongo na si tuu udongo pia inadai aina ya udongo na huo udongo uwe mzuri
Na ikishakua mikononi mwako inakupa fursa ya kuamua wapi kwa kupanda na mpandaji ni lazima achague udongo mzuri
Fursa 5
Kupata nafasi ya kutulia wakati Mungu anaifanyia kazi mbegu yako uliyoipanda

1kor 3:6,7
Zab 46:10,11
Gal 6;9
Ebra 4;14,
Ebr3;1-2

Fursa 6
Nafasi ya kutengeneza fikra au mtazamo unaokupa kujiandaa kwajili ya maisha ya baadae
Yoh 12:20-24
1kor 15:36-38

Ukiwa na mbegu mkonon mwako ni lazma ikupe fursa ya kufikiri mtazamo wa maisha yako ya baadae
Mbegu inabeba mambo ma 3
1.Kile kitakachokuwa
2.Kitakavyokuwa
3.Kitakavyokuja

Fursa 7.
Hukupa nafasi ya kufanya kazi pamoja na Mungu
1Kor 3:5-9
Mf:Nehemia

Fursa 8.
Nafasi ya kuongezewa neema ya kuombewa na wale waliopokea sadaka yako
2kor 9:14

Comments