Famous
but Humble man of God Emmanuel Mgaya Masanja Makandamizaji Pastor..leo
ameutangazia Ulimwengu kwamba safari yake ya Ndoa imeanza rasmi leo kwa
Kumvisha Pete ya Uchumba dada wa watu..
.na tarehe 14 August 2016 Atafunga Ndoa....
tumuombee na Kumsupport financially and Materially....
Comments